• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 4 December 2017

    Rais atangaza mpango wa kutengeneza fedha mpya

    Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametangaza mpango wa kutengeneza fedha mpya ya nchi hiyo katika kujaribu kuunusuru uchumi wa nchi hiyo.
    Amesema fedha hiyo iitwayo Petro itaimarishwa na utajiri wa Venezuela utokanao na mafuta, gesi, pamoja na dhahabu.
    Uchumi wa Venezuela umedorora mno kutokana na kushuka kwa mapato ya mafuta pamoja na kuporomoka kwa thamani ya fedha yake ya sasa ya bolivar.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI