• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 7 December 2017

    Waziri afanya uteuzi

    Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mh. Charles Mwijage amewateua wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Mbolea Tanzania TFC kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Disemba 1 2017.
    Uteuzi huo umekuja ikiwa ni baada ya Rais Magufuli kufanya uteuzi kwa Prof. Egid Beatus Mubofu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Mbolea Tanzania.
    Aidha bodi hiyo inategemea kuzinduliwa tarehe 11 mwezi huu katika wizzara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dodoma
    Majina ya Wajumbe wa Bodi waliochaguliwa haya hapa chini
     

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI