
“Sijawahi kumtukana msanii au kugombana na msanii but ule ukweli wangu labda unamwambia mtu, unajua watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli, anaweza akakuboa ukamwambia ukweli akakuchukulia tofauti kwa hiyo nadhani sana hiyo ndio ilikuwa inachangia” amesema Barakah.
“Wakati huu nimejitahidi ndio maana hata nimekaa kimya muda mrefu sana, nimejaribu kukaa na watu wengi sana wamenipa cancelling wakiwemo watu wakubwa kwenye entertainment” amesisitiza.
Pia ameongeza kuwa watu kwa sasa watamuona ni Barakah mpya kwani anajichukulia kama msanii mpya ambaye ndio anataka kutoka.
No comments:
Post a Comment