
“Kiukweli mtu ambaye anatucheleweshea foleni yetu ni Chibu tu kwa sababu ni mtu wa kwanza alipata idea ya kutoa albamu mwaka huu tulikuwa tunaheshimu wazo lake sisi tukawa wa pili” amesema.
Ameendelea kwa kusema Diamond alipoweka wazi namna atakavyouza albamu yake ndipo akaamua na yeye kutoa ili auze kwa watu wake wasikilize muziki wake.
“’Kwa hiyo nilikuwa na wazo la kutoa kwa mwaka huu, nilikawa nataka yeye atoe na mimi nitoe na wengine wote watoe, watu kibao wana mangoma ndani” amesisitiza.
No comments:
Post a Comment