NaStahmil Mohamed
Thamani ya mauzo ya hisa imepanda kutoka shilingi bilioni 3 ya wiki iliyoisha Novemba3 hadi kufikia shilingi bilioni 86 kwa wiki iliyoishia novemba 10 hivyo ongezeko hili kubwa LA Mara moja limetokana na ununuzi wa hisa za TBL kwa kampuni ya SABMILLER.
Thamani ya mauzo ya hisa imepanda kutoka shilingi bilioni 3 ya wiki iliyoisha Novemba3 hadi kufikia shilingi bilioni 86 kwa wiki iliyoishia novemba 10 hivyo ongezeko hili kubwa LA Mara moja limetokana na ununuzi wa hisa za TBL kwa kampuni ya SABMILLER.
Hayo yamesemwa na Afisa muhandamizi wa soko la Hisa
bi.Marry kinabo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana
na mauzo ya Hisa ambapo amezitaja kampuni zilizoongoza katika mauzo ya
hisa ni TBL 99% ikifuatiwa na CRDB 0.56% na Voda 0.01%.
Hata hivyo bi.Kinabo ametaja ukubwa wa mtaji wa kampuni za
ndani umepanda kwa shilingi bilioni29 kutoka Trilioni 10.051 hadi kafika
shilingi Trilioni 10.08 wiki hii hivyo ukubwa huu umetokana na kupanda
kwa bei ya hisa ya TBL(1%).
Katika upande wa hati fungani katika wiki iliyoishia tarehe 10 novemba yalikuwa shilingi bilioni 11.2 kutoka shilingi Bilioni 15.7 wiki iliyopita ya novemba3 hivyo mauzo hayo ya hati fungani saba za serikali zenye jumla ya thaman ya shilingi Bilioni 12.5 kwa jumla ya gharama ya shilingi Bilioni 11.2
Katika upande wa hati fungani katika wiki iliyoishia tarehe 10 novemba yalikuwa shilingi bilioni 11.2 kutoka shilingi Bilioni 15.7 wiki iliyopita ya novemba3 hivyo mauzo hayo ya hati fungani saba za serikali zenye jumla ya thaman ya shilingi Bilioni 12.5 kwa jumla ya gharama ya shilingi Bilioni 11.2
No comments:
Post a Comment