• Breaking News

    ..

    ..

    Sunday, 28 August 2016

    WAZIRI MKUU AKUTANA NA UHURU KENYATTA NAIROBI

    maja1
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta katika Mkutano wa TICAD 6  kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016. (Picha na maja1Ofisi ya Waziri Mkuu)
    maja2
    Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta  akizungumza jambo wakati akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  katika Mkutano wa TICAD 6  kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
    maja3
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali wanaoshiriki katika Mkutano wa TICAD 6 kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyeatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI