Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza
(Das) akizungumza katika mkutano huo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa
wilaya hiyo,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo aliyekaa kushoto na anayefuata
ni Mwenyekiti wa Waendesha Boda Boda wilayani Muheza
(Das) akizungumza katika mkutano huo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa
wilaya hiyo,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo aliyekaa kushoto na anayefuata
ni Mwenyekiti wa Waendesha Boda Boda wilayani Muheza
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri
ya wilaya ya Muheza ambaye pia ni Afisa Biashara wa wilaya hiyo,Ally
Mokiwa akielezea namna walivyojipanga kuhakikisha waendesha bodaboda hao
wanakata leseni za kuendesha shughuli zao katikati ni Mkuu wa wilaya ya
Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo
ya wilaya ya Muheza ambaye pia ni Afisa Biashara wa wilaya hiyo,Ally
Mokiwa akielezea namna walivyojipanga kuhakikisha waendesha bodaboda hao
wanakata leseni za kuendesha shughuli zao katikati ni Mkuu wa wilaya ya
Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo
Boda wilayani Muheza,Francis Gerald akizungumza katika mkutano huo
kuhusu changamoto ambazo zinawakabili
Baadhi ya waendesha bodaboda
wilayani Muheza wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi
Mwanasha Tumbo alipokuwa akizungumza nao kusisitiza umuhimu wa wao kutii
sheria za usalama barabarani ikiwemo kuacha kufanya vitendo vya uhalifu
wilayani Muheza wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi
Mwanasha Tumbo alipokuwa akizungumza nao kusisitiza umuhimu wa wao kutii
sheria za usalama barabarani ikiwemo kuacha kufanya vitendo vya uhalifu
Baadhi ya Bodaboda zikiwa zimepaki kwenye uwanja wa Jitegemee wilayani Muheza huku madereva wakiwa kwenye kikao chao na Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga,
Mhandisi,Hajat Mwanasha Tumbo
Mhandisi,Hajat Mwanasha Tumbo
No comments:
Post a Comment