• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 20 September 2016

    GEREZA LA WILAYA TUKUYU MAHIRI KWA KILIMO CHA CHAI


    mage1
    Mkuu wa Gereza Tukuyu, Mkoani Mbeya, SSP. Prosper Kinyaga akionesha  sehemu ya  eneo lenye ekari 26  linaloendesha Kilimo cha chai katika gereza hilo.
    mage2
    Wafungwa wa Gereza Tukuyu, Mkoani Mbeya  wakivuna chai katika Shamba la Gereza hilo kama inavyoonekana katika picha.
    mage3
    Muonekano wa baadhi ya mashamba ya Kilimo cha chai katika Gereza Tukuyu. Gereza hilo lilijengwa mwaka 1994 na shughuli zinazofanyika ni Kilimo cha chai, Kilimo cha Migomba, Bustani za mbogamboga pamoja na Utunzaji wa mazingira kwa upandaji miti na ufugaji wa samaki kwa majaribio(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI