• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 21 September 2016

    MAKATIBU WAKUU WAFANYA ZIARA

     

    zaw1
    Mkuu wa Watangazaji ZBC Radio Suzan Kunambi akitoa maelezo kuhusiana na Utangazaji katika ziara ya Makatibu Wakuu walioifanya katika shirika la ZBC Radio Zanzibar.
    zaw2
    Katibu Mkuu Kiongozi Abdulhamid Yahya Mzee kulia akiwapamoja na Makatibu wakuu mbalimbali wakisikiliza maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu wa ZBC Radio Ali Aboud Twalibu kushoto katika ziara walioifanya ili kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili shirika hilo Zanzibar.
    zaw3
    Fundi Mkuu wa ZBC Radio Ali Aboud Twalibu akiwaonesha jambo makatibu Wakuu  katika sehemu ya kuhifadhia CD mbalimbali walipofanya ziara katika shirika la ZBC Radio Zanzibar.
    zaw4
    Mhariri Mkuu wa Gazeti la Zanzibar Leo Ramadhani Makame akitoa maelezo kuhusiana na utendaji kazi katika ziara ya Makatibu Wakuu walioifanya katika Ofisi za Gazeti hilo Rahaleo Zanzibar.
    zaw5
    Katibu Mkuu Kiongozi Abdulhamid Yahya Mzee akiwa pamoja na Makatibu Wakuu wakimsikiliza Mkuu wa Chumba cha Kompyuta Zanzibar Leo Rabia Bakari walipofanya ziara katika Ofisi za Gazeti hilo Rahaleo Zanzibar.
    zaw6
    Katibu Mkuu Kiongozi Abdulhamid Yahya Mzee kushoto akiwa pamoja na Makatibu Wakuu wakiwa katika ziara katika shirika la ZBC radio Zanzibar.
    PICHANA YUSSUF SIMAI /MAELEZO ZANZIBAR.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI