• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 15 September 2016

    Kampuni ya simu ya mkononi ya Tigo yatoa madawati 235


     

    tigo
     
    Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma, Japhar Mwanyemba akipokea moja kati ya madawati 235 yenye thamani ya milioni 39 toka kwa Mkurugenzi wa Tigo kanda ya kaskazini, George Lugata. Katikati ni Diwani  Kikuyu kaskazini, Israel Mwansasu


    Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kaskazini George Lugata(kushoto) Diwani wa Kikuyu kaskazini, Israel Mwansasu na Meya wa Dodoma Mstahiki Japhar Mwanyemba wakiwa wameketi mara baada ya makabidhiano.

     Katibu Tawala wa mkoa wa Dodoma, Patrick Moshi akiongea na  walimu,wanafunzi na wanahabari kwenye hafla ya kukabidhi madawati toka kampuni ya Tigo, wengine pichani Meya Japhar Mwanyemba, George Lugata, Aidan Komba


    Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini, Aidan Komba akiongea na walimu, wanafunzi na wanahabari wakati wa hafla ya makabidhiano ya madawati viwanja vya shule ya msingi Kikuyu A mkoani Dodoma

    Walimu na Wanafunzi wakisheherekea

     Mwanafunzi Josephine Mahundi akitoa shukurani

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI