Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhandisi Mathew Mtigumwe akishiriki
kutazama washiriki wa Ikungi Half Marathon 2016 walivyoanza mbio hizo katika
Kijiji Cha Kimbwi Kuelekea Uwanja wa Shule Ya Sekondari Ikungi pembeni yake ni
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu na Hassan Tati Mwenyekiti
wa CCM Wilaya ya Ikungi
kutazama washiriki wa Ikungi Half Marathon 2016 walivyoanza mbio hizo katika
Kijiji Cha Kimbwi Kuelekea Uwanja wa Shule Ya Sekondari Ikungi pembeni yake ni
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu na Hassan Tati Mwenyekiti
wa CCM Wilaya ya Ikungi
Wananchi wakifatilia kwa makini Ikungi Half Marathon katika maeneo yao vijiji vyao
Washiriki wa Ikungi Half Marathon wakianza kukimbia Riadha katika Kijiji cha Kimbwi
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhandisi Mathew Mtigumwe, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu na viongozi wa ngazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Ikungi wakitazama namna wakimbiaji wanavyowasili katika uwanja wa shule Ya Sekondari Ikungi
No comments:
Post a Comment