..
Wednesday, 23 November 2016
Habari
Katika Muendelezo wa ziara yake ya kuitafuta DARMPYA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda leo yupo Wilaya ya Ilala baada ya kuhitimisha ziara yake siku ya jana leo katika Wilaya ya Temeke.
RC Makonda amesema kuwa kufanyakazi kwa muda mredu inabidi kuendane na uwajibikaji bora wenye manufaa kwa wananchi, pia RC Makonda amesemna kuwa wale watumishi waliopata nafasi za ajira kupitia watu fulani wajiandae kwani amejipanga kuwawajibisha kama wasipo wajibika.


No comments:
Post a Comment