• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 3 November 2016

    SEKTA YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI YAPATA WAWEKEZAJI

    Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akijibu swali leo Bungeni mjini Dodoma
     

    Wizara
    ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji pamoja na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wamefanikiwa
    kuhamasisha baadhi ya wawekezaji kuwekeza katika sekta ya dawa za binadamu na
    vifaa tiba ili kupunguza uagizaji wa dawa kutoka nje ya nchi.
    Hayo
    yamesemwa leo mjini Dodoma na Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Charles Mwijage
    alipokuwa akijibu swali la Mhe. Khadija Ali (Viti Maalum) aliyehitaji kufahamu
    mpango wa Serikali wa kutumia malighafi zilizopo kuzalisha baadhi ya dawa na
    vifaa tiba.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI