• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday, 12 November 2016

    VIONGOZI WA DINI ZOTE TANZANIA WAUNDA UMOJA KWA AJILI YA KUIMARISHA AMANI

    Viongozi walioudhulia uzinduzi rasmi wa balaza hilo, kutoka kushoto ni Rev. Canon Thomas Godda, Jaji Mstaafu R. Mwaikasu, Sheikh Amir Mussa  Kundecha na Berious Nyasebwa ambaye alikuja kama mwakilishi wa waziri wa mambo ya ndani nchini..

    Mwazilishi wa WCRP mama Hindu Lilla aliyeanzisha harakati za kudai ustawi wa jamii kupitia kuipa changamoto Umoja wa Mataifa ili kuachana na vita ikiwa kina mama ndiyo wanaoathirika zaidi.
    Baadhi ya wageni waalikwa na viongozi mbalimbali wa taasisi za dini nchini ambao wameudhulia uzinduzi huo wa kipekee wa kuunganisha madhehebu ya dini nchini na kuwa na balaza moja lenye sauti.

    Naibu balozi wa Ujerumani nchini John Reyels akiongea nafasi ya ujerumani katika kuthamini umoja na ushirikiano wa dini mbalimbali kwani ndiyo wenye sauti kubwa katika kulilia Amani duniani kote.

    Father Antony Makunde kutoka TEC akiongea na viongozi wa dini mbalimbali, viongozi wa serikali, balozi na sekta mbalimbali waliohudhulia kabla ya kuwakilisha Hati ya Maridhiano Kati ya Taasisi za Dinimapema leo tarehe 12.11.2016 katika hotel ya New Africa Hotel Jijini Dar Es Salaam.

    Kulia ni Sheikh Jalala Mwakindendenge ambaye ni imam na mwakilishi wa madhehebu ya waislam wa shia nchini na kushoto kwake, Sheikh Ghawth Salum Nyambwa yeye ni naibu Imam na mwenyekiti kwa madhehebu ya waislam wa shia nchini.



    Viongozi mbalimbali wa dini zilizohudhulia uzinduzi rasmi wa Baraza la Dini Mbalimbali la Amani Tanzania (Inter –Religious Council for Peace Tanzania) wakitia sahihi hati ya makubaliano na katika vitabu vya kumbukumbu, kutoka kulia ni Askofu Tarcisius J.M Ngalalekumtwa, katikati ni Tahir Mahmood Chaudhry kutoka jumuhiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania na Kishor Thakrah wa Hindu Council of Tanzania. Waliosimama kwa nyuma ni viongozi wa serikali na wawakilishi wa ofisi za balozi wakishuhudia tukio la kihistoria

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI