• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday, 12 November 2016

    CHUO CHA CBE CHAFANYA MAAFALI YA 51

    Serikali imewataka wahitimu  wa chuo cha  biashara CBE kampasi ya Dar es salaam  kuhakikisha kuwa wanatumia fursa zilizopo ndani ya nchi na nje ya inchi ilikujiletea maendeleo.

    Kauli hiyo imetolewa nan a waziri wa viwanda viwanda biashara na uwekezaji mheshimiwa charse mwijage akizungumza na wahitimu wa chuo cha biashra CBE kampasi ya Dar es salaam walio hudhuria maafali ya 51 chuoni hapo jijini dar es salaam.

    Amesema serikali imeendelea kudumisha ushirikiano na nchi za jirani kupitia jumuiya ya afrika mashariki EAC,na jumuia ya maendeleo ya nchi za kusini mwa afrika  SADC,tumekubaliana kuondoa vikwazo mbalimbali vya kiuchumi, kijamii, na biashara katika nchi zilizo kwenye ukanda huu ilikuwezesha wananchi kunufaika Zaidi nafursa zilizopo nje ya nchi.

     ‘’nijambo la kushangaza sana kuwaona wenzetu wananufaika na nafasi za ajira zilizopo nchini  wakati watanzania wanahofu ya kutafuta ajira katika nji za nje’’hayo amesema mh, Mwejage.

    Hata hivyo alisisitiza pamoja na changamoto zilizopo kwa watanzania lakini jambo la  umuhimu ni kuamua na kudhubutu kwa hivyo tutumie fursa hii kuwaimiza wahitimu waombe kazi hata zilizopo nje ya Tanzania.


    Aidha mkuu wa chuo cha CBE  Prof Emanuel Mjema alisema kuwa kutukana naongezeko la mahitaji ya taaluma chuo cha elimu ya biashara kimelazimika kuongeza udahili wa wanachuo wakati miundominu yake bado ni ile ile ya zamani ambayo imekifanya chuo kutoa elimu katika mazingira magumu katika kampasi yetu ya Da es salaam,miundombimu iliyopo iliwekwa ihudumie wanachuo 600 tu na sasa inahudumia wanachuo Zaidi ya 6000, kwa sasa tuna uhaba mkubwa za mihadhara, maktaba ya kisasa na ofisi ya wanafunzi.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI