..

Tuesday, 29 November 2016
Habari
Watanzania takribani asilimia 40 wanatakiwa wawe wamejiingiza kwenye uchumi wa viwanda mpaka kufikia 2020 ili kuweza kusaidia kukuza ajira za vijana na kuifanya Tanzania kuwa kwenye uchumi wa kati kwa maendeleo ya jamii na nchi kwa ujumla.
“Tunataka mpaka kufikia 2020 watanzania takribani asilimia 40 wawe wamejikita kwenye uchumi wa viwanda ili kusaidia kukuza ajira kwa vijana na kuifanya Tanzania kuwa kwenye uchumi wa kati kwa maendeleo ya jamii nan chi yetu kwa ujumla” alisema Waziri Mwijage.
Home
Habari
WAZIRI MWIJAGE: WATANZANIA ASILIMIA 40 WANATAKIWA WAWE KATIKA UCHUMI WA VIWANDA IFIKAPO 2020
No comments:
Post a Comment