..
Sunday, 20 November 2016
Mahojiano
Mkuu wa wilaya ya kigamboni Hashim Mgandilwa ameitaka Serikali kuangalia upya juu ya malipo ya magari ya watumishi wa serikali wakati wa kuvuka daraja la kigamboni jijini Dar es Salaam.
“Magari ya Halmashari yanayopita hapa daraja lininatozwa kiasi cha fedha shilingi 2000,hasa ikizingatiwa kuwa halmashauri hii ni mpya lakini asilimia kubwa ya watumishi wengi wanatokea nje ya halmashauri hii,”alisema.
Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh Makonda alimesema chanzo cha magari ya Halmashauri hiyo kutozwa tozo ni kutokana na mchakato na ujenzi wa daraja hilo kufanyika kabla ya Halmshauri ya Manispaa ya Kigamboni kuanzishwa.
“Barabara hii licha ya kutumiwa na watu magari baiskeli na pikipiki zinazopita darajani, ijapokua haijajengwa kwa kiwango cha lami nina imani wananchi wangu mnapata kero kubwa kutokana na ubovu na vumbi unao tokana na barabara hii nina waomba muwe na uvumilivu wenu wa muda mchache ,”alisema Mgandilwa.
ka katika daraja hilo jambo ambalo linaleta changamoto kwa watumishi hao


No comments:
Post a Comment