• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday 31 December 2016

    CUF;LIPUMBA NA SEFU KUWENI KITU KIMOJA

    Ailekua kiongozi wa cuf Juma Mohemmed amewataka viongozi wa cuf  kuacha viburi ili kujenga cha cuf 

    Akizumgumza na wandishi wa habari jana jijini dar es salaam juu ya mgogoro wa chama cha cuf amewataka viongozi wawili hawa kuwa kitu kimoja  chama hicho bila ya lipumba bado kitakua akijakamilika kutokana na katiba ya chama hicho ''asilema

    Chama hichi ni cha wote kati ya lipumba na Maliim Sef wamini kua wanapo gombana bado hawajengi bali wanakiuwa chama Alisema 


    hata hivyo kiongozi huyo alishangwaza na mgogoro huo kwani katiba ipo wazi hakutabua wapi Lipumba alipo kosea aliendelea kusisitiza kua Maliim sefu ndie mwenye makosa sio lipumba amewataka kuamcha mara moja mgogoro huo kwa CUF ni chama na mbili baada ya CCM

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI