• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 27 December 2016

    MCHEZAJI WASIMBA APATA WATOTO WAWILI


    Mke wa beki wa Simba, Juuko Murshid amejifungua watoto watatu.

    Mkewe aitwaye Ruth amejifungua watoto watatu usiku wa kuamkia leo wakati beki huyo akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa ya Uganda, The Cranes.

    Mratibu wa Simba, Abbas Ally ‘Gazza’ amesema nao wamepokea taarifa hizo njema.

    “Kweli tumepewa taarifa hizo ambazo ni njema, kwamba amejifungua watoto watatu mapacha,” alisema Abbas.


    Beki huyo hajajiunga na Simba katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kwa kuwa yuko kambini na kikosi cha The Cranes.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI