• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 27 December 2016

    NDANADA; NIPO TAYARI KUMCHAPA YANGA



    Kikosi cha Ndanda FC kimeendelea na mazoezi yake ya mwisho leo kabla ya kuivaa Yanga, kesho.

    Ndanda FC wanaonekana wako fiti wakisubiri mechi hiyo ya kesho dhidi ya Yanga pale kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

    Katika mazoezi hayo, Wachezaji wa Ndandsi walionekana ni wenye morali na walio tayari kwa ajili ya mechi hiyo.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI