Akikabidhi zawadi hizo Makonda amesema ameona nivema kutimiza ahadi zake kabla kufunga mwaka kwa yale yote aliyoyaahidi ambayo yapo ndani ya uwezo wake.
Pia Makonda ametoa zawadi kwa watendaji ambao waliokuwa wakionyesha umahiri wao wa kujibu na kupangua tuhuma zilizokuwa zikitolewa na wananchi na kusema kuwa ameona niveme kuwapongeza kwa kazi kubwa walizo kuwa wakizifanya.
Katika hatua hiyohiyo Makonda amekabidhi mabati kwa uongozi wa shule ya secondary Jitegemee ambayo ikiwa moja ya jitihada za kuunga mkono ujenzi na ukarabati wa shule hiyo.
KULA ccm , KURA ukawa
ReplyDelete