Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amewataka wakazi wa Mtaa wa Kombo Kata ya Vingunguti kutunza mazingira yao kwa kufanya usafi mara kwa mara ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu kwani imekuwa ikiripotiwa mara kwa mara kuwa wagonjwa wengi wa kipindupindu wanatokea maeneo hayo.






Created By Sora Templates
Created By Bongotech
No comments:
Post a Comment