Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiongea jambo na Mohammed Barhoumi ambaye ni Makamu Rais wa Kampuni ya Medtronic kutoka nchini Lebanon ambao ni watengenezaji wa vifaa tiba vya magonjwa ya Moyo alipotembea Taasisi hiyo leo kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimuonyesha jengo la Maabara Kuu ya Taifa (halipo pichani) Mohammed Barhoumi ambaye ni Makamu Rais wa Kampuni ya Medtronic kutoka nchini Lebanon ambao ni watengenezaji wa vifaa tiba vya magonjwa ya moyo. Kushoto ni Divin Akaba na kulia ni Stranix William wote kutoka Medtronic.
Daktari Bingwa ya upasuaji wa magonjwa ya Moyo kwa watoto Godwin Sharau akimueleza jinsi wanavyofanya upasuaji wa moyo kwa watoto Mohammed Barhoumi ambaye ni Makamu Rais wa Kampuni ya Medtronic kutoka nchini Lebanon ambao ni watengenezaji wa vifaa tiba vya magonjwa ya moyo. Kulia ni Daktari wa Upasuaji wa Mgonjwa ya Moyo Hussein Hassanali.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiagana na Mohammed Barhoumi ambaye ni Makamu Rais wa Kampuni ya Medtronic kutoka nchini Lebanon ambao ni watengenezaji wa vifaa tiba vya magonjwa ya moyo mara baada ya kumaliza kutembelea Taasisi hiyo leo na kujionea kazi mbalimbali wanazozifanya.
Picha na Anna Nkinda – JKCI
No comments:
Post a Comment