• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 2 February 2017

    WAYA HAI WA UMEME WAZUA TAFLANI KARIAKOO





     Waya wa umeme uliokatika ukiwa unaanza kutoa moshi baada ya kukatika mtaa wa Mchikichi na Msimbazi.











      Gari la Zimamoto likiwa eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.





     Askari wa zimamoto wakiwa wanajaribu kuuzima moto huo kabla ya shirika la umeme la Tanesco hawajafika.





     Gari la Shirika la umeme Tanesco likiwasili eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.







    Wafanyakazi wa Shirika la Umeme la Tanesco wakiwa wanajadiliana na askari wa zimazoto baada ya kufika eneo la tukio na kuzima umeme.





    \

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI