Waziri wa Elimu, Sayansi na
Teknolojia akiwa ameambatana na baadhi ya wanachama wa Chama Cha
Mapinduzi, CCM wakikabidhi vitu mbalimbali Kwa mkurugenzi wa hospitali
ya Ocean Road hii leo jijini DSM.
Waziri wa Elimu Sayansi na
Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako akiwa ameambatana na viongozi wa
hospitali hiyo muda mfupi baada ya kuwasili katika hospitali hiyo.
No comments:
Post a Comment