• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 24 April 2017

    Diwani wa kata ya mjimwema Celestine Maufi Aibua mapya kwenye ziara

    Diwani wa kata ya mjimwema Celestine Maufi amemtaka mkurugezi wa  manispa ya kigamoboni kupiatia kwa muhandisi wa manispa hiyo kuimarisha miondombinu inayo wathiri wananchi katika kipindi hichi cha mvua



    Ameyasama hayo katika zaira ya kuzungukia kata zote za wilaya yakigamoboni jijini dar es salaam
    Ili kutatua changamoto za wilaya hiyo

     Alisema:Eneo hili limekua na tatizo kwa wanachi wangu wanapata hadha k
    ubwa ya mafuriko kipindi hichi cha mvua kata ina changamoto nyingi sana ikiwemo barabara katika upande wa kisota na maendeo ya maweni kumekua na tatizo ya ubovu wa barabara;Alisema diwani wa kataka hiyo

    Kwa upande mwengine diwani amewataka wananchi kushirikia katika mambo mbalimbali ya kuendeleza kata hiyo na taifa kiujumla

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI