Mbali na kupunguza uzito na kuwa kiungo
kizuri sana kinachotumika kwenye vyakula na vinywaji mbali mbali, pia
tangawizi inasaidia kutibu vitu vingi mwilini.
1.Huondoa gesi tumboni:-

2. Husaidia wenye kifafa au Msongo wa mawazo:-

3. Huongeza nguvu za kiume:-

4.Huongeza maziwa kwa kina mama wanyonyeshao :-
Kwa kina mama wajawazito, wanopata kichefuchefu na kutapika inasaidia sana kuondoa hali hiyo.
*Tafuna kipande cha tangawizi, badala ya ndimu. Inasaidia zaidi by Dr. Mandai
*Changanya mdalasini, pilipili manga kidogo, chemsha kama chai pamoja na tangawizi. Husaidia sana mafua na kikohozi.
7. Husaidia Maumivu ya Viungo:-
Kwa wale wanaosumbuliwa na maumivu ya viungo ya mara kwa mara, chai yenye tangawizi yakutosha kusaidia kupata nafuu.
8.Husaidia maumivu makali kipindi cha hedhi:-

*Kama
alivyoshauri Dr. Mandai, ponda tangawizi mbichi, kisha ichemshe kwa
dakika 10, waweza ongeza sukari, au ukainywa kama ilivyo, mara tatu kwa
siku, baada ya chakula. Na ameshauri kuanza siku tatu kabla ya kuingia
kwenye hedhi.
9. Kusaidia kutoa sumu mwilini:-

10.Husaidia kupunguza uzito

*Ponda tangawizi yako, kisha changanya na maji. Chemsha mpaka utakapo hakikisha kuwa imechemka vizuri, ndipo unywe ikiwa ya moto kiasi, kama chai. Ni vizuri kunywa angalau mara mbili kwa siku. Asubuhi na jioni unapokwenda kulala. Utaona tofauti kubwa. Utaamka mwenye nguvu, bila maumivu yeyote mwilini. Kwa matokeo mazuri na haraka, usiweke sukari, na kipindi cha mchana kunywa maji yakutosha. Lakini kama tujuavyo, tangawizi pekee haiwezi kusaidia kupunguza uzito kama hutaangalia ulacho na kuongeza mazoezi ya aina yoyote yale ili kufanya mwili wako kuwa active. JENGA TABIA YA MAZOEZI, iwe kutembea, kuruka kamba, kukimbia, n.k ili tu, kujiweka FIT Chanzo Mtazamo Halisi Blog
No comments:
Post a Comment