MwenyeKiti wa kata ya Ungindoni Abeid Iddi Ameitaka serikali kuunga mkono juhudi anazo Fanya mwenyekiti huyu na wananchi wake.
Ameyasema hayo leo ofisini kwake akisherekea sikuku ya Wafanya kazi alieza changamoto alizokumbana nazo kipindi ananza kazi katika mtaa wake WA ungindoni ikiwemo matengenezo ya Barabara za mitaa alifufua visima vya maji pamoja na ujenzi wa soko pamoja na kuunda ulinzi shirikishi.
Kwa upande mwengine mwenyekiti amempogeza diwani wa kata ya mjimwema .Celestine P. Maufi
Kwa ushirikiano aliotoa kwa mwenyekiti huyo amesema"
Diwani wa kata ya mjimwema amefanya mambo mengi sana na nimeshirikiananae kwenye kuleta mabadiliko ya kata Ungindoni "alisema Abeid Iddi.
Pamoja na hayo amempongeza rais kwa juhudi anazo zifanya katika kuleta maslai kwa wananchi kwa ujumla bila ya kujali vyama...
..

Monday, 1 May 2017
Mahojiano
Burudani Mahojiano Mahojiano
Mwenyekiti wa ungindoni Abeid Iddi aibua mapya
ENOCK BELLA AMKANA MAROMBOSODec 11, 2017
TAZAMA IDRIS AKIJIBU MASWALI NDANI YA DAKIKA 10.Dec 11, 2017
Labels:
Breaking News,
Habari,
Mahojiano
No comments:
Post a Comment