• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 7 June 2017

    Atimae kampuni ya ubar wafanya yao kwa madereva


    Kampuni ya kutoa huduma ya taxi, Uber, ya nchini Marekani imewafukuza kazi wafanyakazi wake 20 baada ya kubainika kuwa na makosa ya unyanyasaji wa kijinsia.
    Wafanyakazi hao ambao wengine walikuwa na nafasi kubwa wamefukuzwa baada ya kampuni hiyo kuingia katika kasfa inayohusu unyanyasaji wa kijinsia na kuhusu mfumo wake wa kibiashara.
    Malalamiko mengi kutoka kampuni hiyo ya tax inadaiwa yametolewa na wafanyakazi katika ofisi zilizopo jijini San Francisco.
    Na Laila 

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI