• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 14 June 2017

    MKUU WA MKOA AIMARISHA USALAMA JIJINI DAR ES SALAAM



    Mkuu wa mkoa wa dar es salaam Paul Makonda amekabidhiwa magari yapatayo 26 kwa ajili ya doria ambao yanayoenda kutengenezwa mkoani kilimanjaro 

    Lengo la mkuu wa mkoa ni kuimarisha mkoa kiusalama hususa kwenye upande wa doria muda wa usiku maana ndio muda unao fanyika matukio mbalimabali ya kialifu lengo la kutengeneza magari hayo .

    kwa upende mwengine mkuu wa mkoa alipokua akizungumza  na wananchi aliwahakikishia uwepo wa usalama na kutoa takwimu za upungufu wa matukio ya kialifu katika mkoa wake  alitumia fursa hiyo kumshukuru Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania John Pombe Magufuli kwa juhudi kubwa anzo fanya kupigania haki za watanzania  

    Kwa upande wake kamanda kaimu wa kanda maalum  Frtunatus Muslim amempongeza Rais John Pombe Magufuli Pamoja na mkuu wa mkoa kwa juhudi kubwa wanazo fanya kwajili ya kuendeleza uimarishaji wa usalama katika jiji la dar es salaam...



    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI