Msanii wa bongo fleva Dimond platinum amekuja na bidhaa mpya ambayo itakuwa inauzwa kwa bei ya tsh. 300 tu, na ameifungua leo hii ya tarehe 29-06-2017 ya alhamisi ya wiki hii katika viwanja vya karume leo jijini dar-es-salaam.
lengo la kuja na bidhaa hiyo ni kuendelea kutoa fursa hasa kwa vijana kupata ajira na ametoa bidhaa hiyo Mara baada ya kuja na perfume yake hivi karibu.
Aidha amebainisha kuwa bidhaa hiyo haitauzwa Tanzania tu bali itakuwa inapatika mpka nchi za Africa Mashariki bidhaa hiyo ya karanga.pia ilisema kuwa ameandaa magari 90 yakusambaza karanga na katika hayo magari moja ameajiri watu wasopungua 5 pamoja na drive wa gari hiyo.
Pia alitoa shukrani kwa wananchi na wadau wake wa wcb ambao wanampa sapot kubwa chibu dangote na waandishi waliopo pia ''akasema'' viwanda vipo apa apa kwetu nifaida kwa wauzajo na walimaji wote wa zao hili.na muandishi VABY AZRAH Z4NEWS BLOG
No comments:
Post a Comment