• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 7 June 2017

    MAALIM SEIF AJUMUIKA NA WAKAZI WA BUGURUNI KUPATA FUTARI NA SWALA


    Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Maalim Seif akiwasili katika Mtaa wa Buguruni akipokewa na Naibu Meya wa Jiji Omary Kumbilamoto



     Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na wakazi wa Buguruni aliojumuika nao pamoja katika futari na swala



      Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad  akiwa katika ibada iliyofanyika katika Baraza la Mtendeni 2 Buguruni


    Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Wananchi wa Buguruni ambao alijumika nao katika futari ya pamoja



     Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwa na viongozi wa juu wa Chama mara baada ya kupata futari

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI