• Breaking News

    ..

    ..

    Friday, 16 June 2017

    Makonda Atoa misaada kwa waislam

    Mkuu wa mkoa wa dar es salaam Paul Makonda ametoa msaada ya chakula isiyo pungua mifuko 1500 mchele unga sukari pamoja na mafuta ndoo 500 kwa maimu jiji dar es salaam

    Kutoka na mfungu wa ramadhani waislam ni munda wao wa kujiweka karibu na mwenyezimungu ili kufanya ibaada kwa utulivu .Mkuu wa mkoa akaona bora  kutoa misaada kwa ajili ya kuwasaidia viongozi wa dini ili kwendesha ibada zao kwa utulivu.

    Paul Makonda ambae ni Mkuu wa mkoa alitumia Fursa hiyo kuwahutubia waislam juu ya amani pamoja na ushirikiano katika kulinda taifa

    Kwa upande mwengeni Paul Makonda aliwaeleza waislam juhudi kubwa anazo Fanya ili kuliweka jiji katika hadhi yake akishirikana na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Magufuli

    Paul Makonda aliendelea kuwasisitiza waislam katika kipindi hichi cha ramadhani kua swala la usalama kimkoa upo sawa pia amewataka wenye maduka kaubwa kufungua mpaka usiku kwa ajili ya watu kufanya manunuzi katika msimu huu wa Ramadhani

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI