• Breaking News

    ..

    ..

    Friday 23 June 2017

    Samsung yaendesha kampeni ya ‘Nunua,Sajili na Ushinde’

    SUM1
    Bi Lailatu Jethwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Samsung (kulia) akimkabidhi zawadi ya Friji Bw Manufred Makota mwakilishi wa Joash Ndaga wa Dodoma, mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki nchini  ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
    SUM2
    Bi Jacqline Costantino (kushoto) mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’ akikabidhiwa zawadi ya friji na Meneja mauzo wa kampuni ya Samsung Bi Lailatu Jethwa. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki nchini  ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
    SUM4
    Meneja mauzo wa kampuni ya Samsung Lailatu Jethwa (kulia ) akimkabidhi zawadi ya televisheni Bw Emanuel Stanphod Mwakingwe, mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki nchini  ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
    SUM5
    Meneja mauzo wa kampuni ya Samsung Lailatu Jethwa (kulia) akimkabidhi zawadi ya televisheni Bw Moses Modest mwakilishi wa Jackline Morogosho, mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki nchini  ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
    SUM6
    Meneja mauzo wa kampuni ya Samsung Lailatu Jethwa (kulia) akimkabidhi zawadi ya televisheni Bw Lusinde Julius Njelwa, mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki nchini  ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
    SUM7
    Bi Lailatu Jethwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Samsung (kulia) akimkabidhi zawadi ya maicrowave Bi Hazina A Samwel, mshindi wa  bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki nchini  ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
    SUM3
    Bi Lailatu Jethwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Samsung (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushindi’. Kushoto ni Meneja bidhaa wa kampuni ya Samsung Bw Elius Mushi

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI