Bi Lailatu Jethwa Meneja Mauzo wa
kampuni ya Samsung (kulia) akimkabidhi zawadi ya Friji Bw Manufred
Makota mwakilishi wa Joash Ndaga wa Dodoma, mshindi wa bahati nasibu ya
‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la
kupambana na bidhaa feki nchini ilifanyika jana makao makuu ya Samsung
jijini Dar es salaam.
Bi Jacqline Costantino (kushoto)
mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’ akikabidhiwa
zawadi ya friji na Meneja mauzo wa kampuni ya Samsung Bi Lailatu Jethwa.
Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki
nchini ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
Meneja mauzo wa kampuni ya
Samsung Lailatu Jethwa (kulia ) akimkabidhi zawadi ya televisheni Bw
Emanuel Stanphod Mwakingwe, mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili
na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na
bidhaa feki nchini ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es
salaam.
Meneja mauzo wa kampuni ya
Samsung Lailatu Jethwa (kulia) akimkabidhi zawadi ya televisheni Bw
Moses Modest mwakilishi wa Jackline Morogosho, mshindi wa bahati nasibu
ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la
kupambana na bidhaa feki nchini ilifanyika jana makao makuu ya Samsung
jijini Dar es salaam.
Meneja mauzo wa kampuni ya
Samsung Lailatu Jethwa (kulia) akimkabidhi zawadi ya televisheni Bw
Lusinde Julius Njelwa, mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na
Ushinde’. Droo hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa
feki nchini ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es
salaam.
Bi Lailatu Jethwa Meneja Mauzo wa
kampuni ya Samsung (kulia) akimkabidhi zawadi ya maicrowave Bi Hazina A
Samwel, mshindi wa bahati nasibu ya ‘Nunua, Sajili na Ushinde’. Droo
hiyo ya bahati nasibu yenye lengo la kupambana na bidhaa feki nchini
ilifanyika jana makao makuu ya Samsung jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment