Ameyasema hayo Leo katika viwanja vya mwembe yanga wilaya ya Temeke jijini dar es salaam alipokua Wanaomba dua ya kutibu matatizo ya Majini dua ilio fanyika siku mbili mfululizo ikiongozwa na sheikh sharifu Majini.
Hata hivyo alitumia nafasi hiyo kuiombea serikali kuendelea kufanya Kazi .kutoka na juhudi kubwa inayo fanyika ya kuendeleza maendeleo mchini alitumia nafasi hiyo kuwasi waumini Wa dini ya kiislam kuwaunga mkono viongozi Wa dini na serikali katika maendeleo ya taifa.
Kwa upande sharifu Majini amewataka waislam wote nchini kuepukana na matatizo yatokanayo na Majini ambayo dawa za kuondoa zina patikana alisema"" lazima tuakikishe tunaepukana na maradhi ya Majini kwani dawa yake ni mafuta maluum ambayo yaneleta mafanikio kwa haraka pia hutumika kwa watu wilio fanyiwa mambo mbali ya kushirikina mafuta hayo yanapatikana kwa bei nafuu"alisema Sharifu Majini .
No comments:
Post a Comment