• Breaking News

    ..

    ..

    Monday, 10 July 2017

    WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI MH.WILLIAM LUKUVI ATEMBELEA BANDA LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA

    ab1
    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi. Mh. William Lukuvi akiongozana na Meneja Masoko Tuntufye Mwambusi  alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika Maonyesho ya 41 ya  Sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.
    ab2
    Meneja Masoko wa NHC Tuntufye Mwambusi  akimsikiliza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi. Mh. William Lukuvi alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika maonesho ya 41 ya  Sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.
    ab3
    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Mh. William Lukuvi akisani kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika maonyesho ya 41 ya  Sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.
    ab4
    Wananchi mbalimbali wakiwa katika banda la Shirika la Nyumba la Taifa
    ab5
    Afisa Masoko Mwandamizi  wa NHC Emmanuel Lyimo akitoa maelezo ya miradi inayotekelezwa na Shirika la Nyumba
    ab6
    Afisa Mauzo Mwandamizi wa NHC. Joseph Haule akitoa maelezo kwa Wananchi waliotembelea banda la NHC katika viwanja vya Sabasaba
    ab7

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI