• Breaking News

    ..

    ..

    Sunday, 20 August 2017

    MBUNGE WA TANGA MUSSA MBARUKU ATEMBELEA KITUO CHA TV CHA TANGA

     Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
    Alhaj Mussa Mbaruku akisaini kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili
    katika kituo cha Television cha Jiji la Tanga (Tanga TV) akiwa na
    wajumbe wa kamati ya Mfuko wa Jimbo kuangalia fedha za mfuko wa Jimbo
    zilivyotumika kulia ni Meneja wa kituo hicho,Mussa Labani
     Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
    Alhaj Mussa Mbaruku kulia akimsikiliza Afisa Mipango na Uchumi wa Jiji
    la Tanga ambaye pia ni Katibu wa Mfuko wa Jimbo,Ramadhani Possi mara
    baada ya kusaini kitabu hicho
     Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
    Alhaj Mussa Mbaruku akiwa na wajumbe wa kamati hiyo wakiorozesha baadhi
    ya vitu wakati wa ziara hiyo
     Mbunge wa Jimbo la Tanga
    (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku katika akimsikiliza Meneja wa kituo
    hicho,Mussa Labani kushoto
     Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
    Alhaj Mussa Mbaruku wa pili kutoka kushoro akipewa maelekezo na Meneja
    wa Kituo cha Tanga TV Mussa Labani
     Afisa Mipango na Uchumi wa Jiji
    la Tanga ambaye pia ni Katibu wa Mfuko wa Jimbo,Ramadhani Possi wa pili
    kutoka kushoto akimuonyesha jambo  Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj
    Mussa Mbaruku
    Picha ya pamoja baada ya
    kumaliza ziara hiyo

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI