• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 9 August 2017

    RC MAKONDA SASA YUPO HURU KWENYE VYOMBO VYA HABARI

    Mkutano uliondaliwa na jukwaa la wahariri Tanzania Jijini Dar es salaam Wametengua zuiyo la kutorusha habari za mkuu wa mkoa

    Jukwaa la wahariri limetengua zuiyo hilo baada ya kukutana na mkuu wa mkoa wa dar es salaam Paul Makonda kulijadili kwa kina na kuona sababu za kutengua
    Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ametamka hadharani kuwa hatoomba msamaha na wala haitakuja kutokea.

    Kauli hiyo iliibua mjadala mkali kati ya kati ya Waandishi wa Habari  na Paul Makonda.

    Licha ya kauli hiyo Jukwaa la Wahariri Tanzania chini ya Mwenyekiti wake Novatus Makunga wametamka kwa kauli moja kumfungulia Makonda kuanza kuandika Habari zake

     Uamuzi huo Bado waandishi wa Habari hawajaridhishwa na hatua hiyo kwakuwa walitaka Makonda atamke kwa kinywa chake kuiomba radhi tasnia nzima ya Habari.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI