• Breaking News

    ..

    ..

    Tuesday, 22 August 2017

    Shirika la ndege laibua mapya Zanzibar


    Kamati ya ardhi na mawasiliano baraza la wawakilishi Zanzibar..limefanya ziara katika shirika la ndege ATCL jijini dar es salaam.

    Katika ziara hiyo imeibua mambo kadha katika shirika la ndege kwa upande wa Zanzibar na Pemba.


    Mwenyekiti wa kamati ya ardhi na mawasiliano baraza la wakilishi Zanzibar Hamza Hassan Juma amelitaka shirika ilo kuboresha miondombinu kwa upande wa Unguja na Pemba

    Ameyasema hayo baada ya kuona hali  ya usafiri wa anga kushuka chini na kupelekea baadhi ya wananchi kulishanga shirika hilo kwa sababu shirika hilo limesahaulika visiwani unguja na pemba


    Kwa upande wake naibu waziri wa mawasiliano ..amepokea changamotoa hizo zinazo wakabili wazazimbar .
     Ameahidi kuboresha muondombinu visiwani humo

    Pia alitumia fusra hiyo kuwataka watanzani kuiliunga mkono shirika la ndege Tanzania ..kwa kutumia ndege zake kwa sasa wamejipanga vyakutosha  ..

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI