• Breaking News

    ..

    ..

    Saturday, 5 August 2017

    , Sol Campbel anukia nchini

    Beki kisiki wa zamani wa Arsenal, Sol Campbel tayari ametua nchini kwa ajili ya ziara ambayo ni mwaliko wa SportPesa Tanzania.

    Campbell ametua na kupokelewa na wenyeji wake SportPesa na baadaye mashabiki wa Arsenal ambao walijitokeza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kumpokea.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI