Baadhi
ya Wananchi wa Kinuni na Magogoni wakiwa katika shamra shamra wakati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (hayupo pichani ) alipofika kutembelea Ujenzi wa barabara ya
Kwamata -Kinuni mpaka Kijito upele leo inayojengwa na Mkandarasi wa
kampuni ya Mecco,Rais akiwa katika ziara yake ya kutembelea maendeleo ya
Miradi ya maendeleo Wilaya ya Magharibi”B” katika Mkoa wa Mjini
Magharibi
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,Serikali za
Mitaa,Idara Maalum za SMZ Nd,Radhia Rashid Haroub alipokuwa akitoa
maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani ) alipofika kutembelea Ujenzi wa
barabara ya Kwamata -Kinuni mpaka Kijito upele leo inayojengwa na
Mkandarasi wa kampuni ya Mecco,Rais akiwa katika ziara yake ya
kutembelea maendeleo ya Miradi ya maendeleo Wilaya ya Magharibi”B”
katika Mkoa wa Mjini Magharibi,
Baadhi ya Wananchi na Wanachama
wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Kinuni na Magogoni wakiwa katika shamra
shamra wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani ) alipofika kutembelea Ujenzi wa
barabara ya Kwamata -Kinuni mpaka Kijito upele leo inayojengwa na
Mkandarasi wa kampuni ya Mecco,Rais akiwa katika ziara yake ya
kutembelea maendeleo ya Miradi ya maendeleo Wilaya ya Magharibi”B”
katika Mkoa wa Mjini Magharibi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa
akizungumza na Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa
Kinuni na Magogoni leo alipofanya ziara ya kutembelea Ujenzi wa barabara
ya Kwamata -Kinuni mpaka Kijito upele inayojengwa na Mkandarasi wa
kampuni ya Mecco, katika ziara yake ya kutembelea maendeleo ya Miradi ya
maendeleo Wilaya ya Magharibi”B” katika Mkoa wa Mjini Magharibi,(kulia)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara
maalum za SMZMhe.Haji Omar Kheir na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) alipokuwa akisisitiza jambo wakati alipozungumza na Wananchi
na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Kinuni na Magogoni leo
alipofanya ziara ya kutembelea Ujenzi wa barabara ya Kwamata -Kinuni
mpaka Kijito upele inayojengwa na Mkandarasi wa kampuni ya Mecco,
katika ziara yake ya kutembelea maendeleo ya Miradi ya maendeleo Wilaya
ya Magharibi”B” katika Mkoa wa Mjini Magharibi
No comments:
Post a Comment