Ndege ya kijeshi imeanguka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuwaua abiria wote.
Maafisa
wa maswala ya angani wamesema kuwa zaidi ya watu 10 wamefariki baada ya
ndege hiyo kufeli kupaa vizuri kutoka uwanja wa ndege wa N'djili katika
mji mkuu wa Kinshasa na kuanguka katika makaazi ya Nsele.Haijabainika iwapo kuna watu wowote waliouawa ama kujeruhiwa ardhini.
- Zaidi ya wafungwa 900 watoroka gerezani DRC
- Rais Kabila azuru nchini Tanzania
- Miili ya wataalamu wa UN yapatikana DRC
- Shambulio dhidi ya upinzani DRC
Ripoti nyengine zinasema kuwa baadhi ya wanajeshi waliuawa
Chanzo bbc swahili.com
No comments:
Post a Comment