Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro ameongoza Maofisa na askari
wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam katika
mazoezi ya pamoja ambayo hufanyika kila mwisho wa mwezi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro akiongoza maofisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akiongoza maofisa na askari wa
Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam katika mazoezi
ya pamoja
IGP Sirro, amewahimiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa yote kuhakikisha
wanafanya mazoezi ya pamoja ili kuendelea kuboresha afya za maofisa na
askari.
Picha na Jeshi la polisi
No comments:
Post a Comment