Kwa mujibu wa picha zinazowekwa na rapper huyo katika mitandao inaashiria kuwa ameikubali mimba ya mrembo huyo kwani amekuwa akionyesha chumba cha kulala mtoto.
Nyumba hiyo mpya iliyopo Toronto, imekuwa ikifanyiwa matengenezo kwa ajili ya kuishi mtoto pamoja na binamu yake aliyepatikana.
No comments:
Post a Comment