• Breaking News

    ..

    ..

    Wednesday, 20 September 2017

    Sababu za kufutwa uchaguzi Kenya kutajwa

    Naibu jaji mkuu nchini Kenya Philomena Mwilu amesema IEBC kushindwa kufuata agizo la mahakama kuhusu madai yaliyoibuliwa na upinzani inaashiria na kuonesha kuwa madai ya udukuzi yalikuwa ni ya ukweli.
    Jaji Mwilu amesema mahakama ilikubaliana na madai ya upinzani kuwa matokeo yalitangazwa kabla ya matokeo yote kutoka kwa vituo 40,000 kupokelewa.
    “Uchaguzi haukuwa na uwazi na hatukuwa na lingine ila kuufuta,” naibu jaji huyo alisema

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI