• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 21 September 2017

    SEKRETARIETI YA CCM CHINI YA KINANA YAFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA VIETNAM MJINI DODOMA, LEO

     Katibu Mkuu wa CCM abdulrahman Kinana akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Chau Van Lam alipoasili kwa ajili ya mazungumzo na Sekretarieti ya CCM chini ya Kinana, leo katika ukumbi wa Kamati Kuu ya CCM, ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-zanzibar Jumanne Mabodi. Katikati ni katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
     Kiongozi huyo akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Jumanne Mabodi
     Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongzi wa CCM
     Kiongozi huyo akiendelea kusalimia viongozi wa CCM
     Kiongozi huyo akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka
     Kiongozi huyo akimsalimia Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi ya CCM
     Kinana akimpeleka mgeni wake eneo la kufanyia mazungumzo
     Mazungumzo yakianza
     Mazungumzo yakiendelea
     Mazungumzo yakiendelea
     Kinana akitambulisha ujumbe wake kwa mgeni
     Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma akizungumza na mwandishi wa Uhuru Fm aliyekuwa akifuatilia mazungumzo hayo
     Ujumbe wa CCM kwenye mazungumzo hayo
     Chau akimpa zawadi Kinana baada ya mazungumzo hayo
     Kinana akimshukuru kwa zawadi mgeni huyo
     Chau akimpa zawadi nyinyine Kinana
     Chau akimpa zawadi ya Kitabu cha misingi ya Kimunisti cha Veitnam, Kinana
     Chau akizawadia Kinana tarumpeta la kisili ya Veitnam
     Kabla ya kumkabidhi akaliungurumisha kidogo
     Kinana akaipokea zawadi
     Kisha Kinana akaonyeshwa kidogo namna ya kuliungurumisha
     Kisha akalipuliza kwa uhodari
     Kinana akapewa zawadi ya kofia ya asili ya Kivietnam
     Akaipokea kwa furaha kofia hiyo
     Kisha akaivaa kofia hiyo akiifurahia 
     Akaendelea kuifurahia kofia hiyo 
     Kinana akajibu mapigo na yeye kwa kumpa zawadi ya picha maridhawa ya kuchorwa
     Chau akaipokea zawadi hiyo kwa furaha
     Kinana akimweleza Chau undani wa picha hiyo
     Kisha ikapigwa picha ya pamoja 
     Kinana akaagana na mgeni wake
     Kinana akimsindikiza mgeni wake baada ya mazungumzo hayo 
     Ngemela akizungumza na waandishi kuwajulisha kilichojiri kwenye mazungumzo hayo
    ZIFUATAZO NI PICHA ZA MAPOKEZI CHAU ALIPOWASILI DODOMA










    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI