Mwenyekiti wa GLF , Salim Mussa Omar akikabidhi misaada kwa wanafunzi
GLF, imekuwa moja ya taasisi kubwa kisiwani hapo kutoa misaada mbalimbali katika nyanja mbalimbali hususani katika elimu, miongoni mwa shule zilizopata msaada wa chakula kutoka taasisi hiyo ni Lumumba, Gando, Shaviani na Madungu.
Mwenyekiti wa GLF , Salim Mussa Omar akisisitiza jambo kwa wanafunzi
Kwa upande wa wanafunzi wa shule hiyo wameshukuru kitendo hicho ,nakusema kuwa kufanya hivyo imeonesha ni jinsi gani jamii ianavyowajali, na kuomba wadau waendelee kuwapa misaada ili waweze kufanya vizuri mitihani yao.
No comments:
Post a Comment