Mh. Lissu alipigwa risasi Septemba 7 mwaka huu na watu wasiojulikana eneo la ‘area D’ mjini Dodoma ambapo tangu kupata shambulio hilo picha ya mbunge huyo haijawahi kuonyeshwa.
Kwa upande wake Mwenyekiti huyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika hivi: Madaktari wanatibu, ila Mungu anaponya.Tuendelee Tuendelee kumuombea @tundulissutz
Lissu yuko nchini Kenya kwaajili ya kupatiwa matibabu.
No comments:
Post a Comment