• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday 19 October 2017

    NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AWATAKA WAFANYAKAZI MIZANI KUACHA RUSHWA


    1
    Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa (Mwenyesuti), akiangalia namna shughuli za upimaji wa magari zinavyoendeshwa katika mzani wa Tinde, mkoani Shinyanga. Kushoto kwake ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), wa mkoa huo, Mhandisi Mibala Ndilindi.
    2
    Msimamizi wa shughuli za mzani wa Tinde kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS),mkoani Shinyanga, Bw. Lugembe Vicent (kushoto), akitoa taarifa ya kiutendaji ya mzani huo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa. Mzani huo unapima magari 300 kwa siku.
    3
    Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa, akiangalia namna watumishi wa mzani wa Tinde, mkoani Shinyanga wanavyopima na kurekodi taarifa za magari yanaoingia kupima uzito kwenye mzani huo.
    4
    Magari yakiwa katika foleni kusubiri huduma za upimaji uzito ili kuendelea na safari kwenye mzani waT inde, mkoani Shinyanga.
    5
    Muonekano wa barabara ya Uyovu- Bwanga (KM 45) kwa kiwango cha lamii iliyopo mkoani Geita, ikiwa imekamilika kwa asilimia 98.
    ………………….
    Wafanyakaziwamizaninchiniwametakiwakufanyakazikwaweledi, uadilifunakuachananavitendovyarushwailikuletatijanaufanisiwakazizao
    katikausimamiajinaulinziwabarabaraambazoSerikaliimekuwaikitumiagharamakubwakatikaujenzi wake.
    HayoyamesemwanaNaibuWaziriwaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano (SektayaUjenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa, leomkoaniShinyanga, alipokuwaakikagua  mzaniwaTinde(Shinyanga), naMwendakulima (Kahama),  ambapoamesisitizaushirikianokatiyawafanyakazihaonamaderevailikutatuachangamotozinazojitokezakatika  vituovyamizani.
    “Watumishinamaderevashirikianenikutokomezavitendovyarushwa, kamwemsijihusishekutoawalakupokearushwailikupatahudumazaharaka, tukikubainitutakuchukuliahatua kali zakisheria”, amesemaNaibuWaziriKwandikwa.
    Aidha, ametoawitokwamaderevawamagariyamizigowanaotakiwakuwanastikamaalumzausafirishajiwamizigoyaokufuatautaratibuwakuchukuastikahizomahalihusikailikuepusha usumbufunamsongamanowamagarikatikavituovyamizani.
    Akiwakatikaeneo la sehemuyamaegeshonakulazamagarimjiniKahamaNaibuWaziriKwandikwa, ametoawitokwaviongoziwaHalmashaurihiyokuchukuahatua kali kwamaderevawanaopakinjeyaeneohilo, ilikudhibitiuchafuziwamazingiraunaowezakufanywanabaadhiyamadereva hao.
    AmeshaurikwauongoziwaHalmashaurihiyokuonanamnayakujengamaegeshomenginekamahayoilikupatachanzo cha mapatonakusaidia kuujengamjikuwanaTaswiranzuri.
    Kwaupande wake, MenejawaWakalawaBarabara (TANROADS), mkoaniShinyanga, MhandisiMibalaNdilindi,amethibitishakuwepokwavitendovyarushwakwabaadhiyawafanyakaziwamizaninchiniambapoamefafanuakatikakupambananasualahilokwawatumishiwamkoa waketayarimweziuliopitaamewachukuliahatuazakinidhamuwatumishiwatatuwamzaniwaMwendakulima.
    Naye, MsimamiziwashughulizamzaniwaMwendakulimakutoka TANROADS Shinyanga, Bi HeriethMonjesa,amesemakuwachangamotozamsongamanowamagarikatikamizanizinasabaishwanabaadhiyamaderevawamagariyamizigowanaotakiwakuwanastikamaalumzausafirishajiwamizigoyaokushindwakufuatautaratibu, hivyokupelekeausumbufukwawahudumunawatumiajiwenginewamizani.
    Katikahatuanyingine, NaibuWaziriKwandikwa, amekaguabarabarayaUyovu-  Bwanga (KM 45), ambapoujenzi wake kwasasaumefikaasilimia 98 namkandarasiamebakishakazizaujenziwamiferejinauwekajiwaalamazabarabarani.
    ImetolewanaKitengo cha MawasilianoSerikalini, WizarayaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano.

    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI