• Breaking News

    ..

    ..

    Thursday, 19 October 2017

    RC GAMBO AFUNGUA KIKAO MKAKATI CHA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) ARUSHA


    Mkuu
    wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza na wanachama wa baraza la
    wafanyakazi wa shirika la Bima la taifa leo jijini Arusha mara
    alipoalikwa kama mgeni ramsi kufungua kikao cha baraza hilo
    kilichofanyika katika ukumbi wa veta jijini Arusha jana

    Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akiwa pamoja na baadhi ya wajumbe na
    viongozi wa baraza la wafanyakazi wa shirika la Bima la Taifa leo
    katika ukumbi wa Veta jijini hapa mara bada ya kufungua mkutano wa
    baraza hilo

    Baadhi
    ya wanachama wa baraza la wafanyazi wa shirika la Bima la Taifa wakiwa
    katika mkutano wa baraza hilo uliofanyika leo ndani ya chuo cha Veta
    jijini Arusha,

    Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akinyanyua mikono na viongozi wa
    baraza la wafanyakazi wa Bima la Taifa leo katika mkutano wa baraza hilo
    uliofanyika katika chuo cha Veta jijini Arusha,kushoto kwake ni
    mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Bima la Taifa,Laston Msongole.

    Mwenyekiti wa bodi ya shirika la Bima la Taifa,Laston Msongole
    aliyeshika kipaza sauti  akizungumza katika mkutano wa baraza la
    wafanyakazi wa shirika hilo jana katika ukumbi wa veta jijini
    hapa,pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo


    No comments:

    Post a Comment

    HABARI

    HABARI

    MICHEZO

    LOGO

    LOGO

    MAOJIANO

    BURUDANI